Amina Lyrics by Sanaipei Tande

Aaaaah aaaaah aaah aaah
aaaaah aaaaah, aaaaah aaaaaah

Ooh mama, panguza chozi
Siyatafakari vita vya juzi
Si kupenda kwangu kukuudhi
Ila tu ujana haubagui
Dada panguza chozi
Sijitie lawama kwa uzushi
Kwani vita kati ya mandugu si ya firauni


Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina


Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina


Ooh mpenzi panguza chozi
Sijijaze chuki wewe moyoni
Hasira hasara
Yote ya mwenyezi
Oh rafiki panguza chozi
Sijiumize we kichwa na maswali
Utansamehe sana kwenda bila mkono wa buriaani


Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina


Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina


Ooh sina sina sina sina
Nafasi nyingine, Ya kuwa na wewe
Nasikitika mi naumia
Lakini nina nina nina nina
Shukrani moyoni, yakuwa miongoni
mwa walo nienzi mi


Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina


Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina ×2





Comments

Unknown said…
Time not wasted😃
Unknown said…
Waaaaooo i liry lov it
Gricelia said…
Napendaaaaaa sanaipei umekill.My names Gricelia Mugo
Unknown said…
Dopest.
Just looping it over and over again.
Awesome piece.
Daktari Aswani said…
Thank you very much.
Unknown said…
Quite a strange song. Is she sick or dying soon? It sounds like a farewell.
Unknown said…
Sanaipei atabaki juuu

Popular posts from this blog

Number One By Le Band and Suzziah Lyrics

Sema Milele Lyrics by Gilad

Senzenina By King Kaka Lyrics